0



Baada ya kueleza mambo manne yaliyorahisishwa na boashara ya TREVO ambayo ni
Mtaji wa biashara
Elimu ya biashara
Muda wa biashara

Sasa tuangalie jambo la nne ambalo hua ni kikwazo cha biashara hasa kwetu sisi ambao ndo tunataka kuanza.
Nalo ni WAFANYAKAZI.
Kwa mtu ambaye ameajiriwa, kila mara akifikiria kuanzisha biashara lazima wazo la kupata mtu mwaminifu wa kumweka kama muuzaji au mtoa huduma lije kwenye akili yake.
Binafsi nimewahi kuanzisha biashara mara tatu na nikazifunga kwa sababu ya tatizo la WAFANYAKAZI nilio waajiri.

Kwenye biashara yetu hakuna waajiri wala waajiriwa. Huna mtu wa kukudai msharara wala kukuibia.
Hakuna mtu wa kukutengenezea faida wala hasara.
Umaniliki biashara yako kwa 100%.

Karibu kwenye ulimwengu wa utafutaji.

Post a Comment

 
Top