0


Watu huwa tunaachana kwenye maamuzi yanayotokana na mitazamo yetu.
Watu wawili wanaweza kukutana na fursa, mmoja aksema
 ‘FURSA HII NI VIGUMU KUITUMIA
na wapili akasema
‘FURSA  HII NI VIGUMU KUIACHA.’

Kuanzia hapo kila mmoja anajenga hatima yake.

Kinacho kukwamisha wakati mwingine siyo kukosekana kwa fursa bali mtazamo wako juu ya fursa zinazojitokeza.

Post a Comment

 
Top