0



Watu wengi wanapenda kufanya biashara lakini wanakwamishwa na vikwazo vingi.

Vikwazo hivyo vyote vimesha tatuliwa na TREVO (T). Ltd.
Kikwazo cha kwanza – MTAJI.

Unakuta mtu anamalengo ya kutengeneza hela kubwa kiasi kwamba akifikiri kuhusu mtaji anaona kuwa anahitaji zaidi ya milioni 10 ili kuanzisha biashara itakayomlipa hela anayotaka.

Trevo imeweka mfumo ambao unahitaji mtaji chini ya shilingi laki tano, na kuanza biashara ambayo itakulipa hadi milioni mia tano ndani ya mwaka au miaka miwili.

Fikiria laki tano, hela ambayo unaweza kuitumia ndani ya siku moja na ikaisha.
Hivyo mtaji siyo kikwazo tena. Amua unataka shilingi ngapi. Halafu tutakuonesha jinsi ya kuipata.

© Grant Sumaye
+255 763 449 749
Facebook/ Grant sumaye
Instagram: Grant_s.s


Post a Comment

 
Top