0



Tumeshuhudia watu wakitengenezea mamia ya mamilioni ya shilingi. Watu hao wapo kwenye nchi yetu, wengine kwenye miji yetu, na wengine mi marafiki zetu.

Swali la msingi la kujiuliza ni kuwa, WAMEWEZAJE?
Swali la pili ni kuwa KWANINI SIYO MIMI?
Ukweli ni kwamba hata wewe unaweza na zaidi ya kuweza.

Tofauti yako na wao ni kwamba WAO WALIAMUA KUANZA.
 Pengine wewe unaona kama muda bado, au unaona kuwa utaweza kuanza wakati wowote….
Lakini wakati wewe unasubiri wakati mzuri ufike, wao waliamua kutumia wakati uliopo na kuufanya kuwa wakati mzuri.

Unaweza kuanza siku yoyote, hii inamaanisha kuwa unaweza kuanza hata leo.
Bora kuanza leo maana sometimes ‘letter may become never.’



Post a Comment

 
Top