"It
always seems impossible until it's done." - Nelson Mandela,
Kila mara tukisema Trevo inakupa nafasi na uwezo
wa kitengeneza mamilioni ya shillingi, wengi huona kama haiwezekani.
Hadi pale atakapo tokea wa kufanya hivyo pengine
ndipo itaeleweka.
Mwishoni mwa wiki hii tumeshuhudia wapambambanaji
wa Trevo winning team wakikabidhiwa cheki zao kama pongezi kwa kazi yao nzuri.
Tumeshuhudia wanawake wawili wakikabidhiwa cheki
ya zaidi ya Tsh 72,milioni na Tsh 400
milioni.
Achilia mbali wanaume waliokata kuanzia milioni 17
hadi zaidi ya milioni 200.
Hii inadhihirisha kuwa inawezekana. Na inanifanya
nione kuwa hata mimi ninaweza. Naamini pia kuwa hata wewe unaweza.
Je
una njaa ya pesa???
Kwanini usijaribu kuanza?
Kumbuka kuna sababu zaidi ya 100 za kukufanya uone
kuwa bado muda huu siyo muafaka.
Lakini ukiwa na sababu moja tu ya kukufanya uanze
inaweza kuzifuta sababu zote zinanazokuzuia kuanza.
Kwa kuwaangalia wana mama hawa waha, wanawakilisha
wananweko wote wanaotaka kuweka historia kwenye maiasha haya na kuzibeba
familia zao.
Kila mmoja ana nafasi sawa katika haya maisha. Ila
kila mmoja anapaswa kuji sevia mwenyewe.
WASILIANA NASI KWA 0763 449 749

Post a Comment